Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,896
Rais wa hawamu ya Pili Ali hassan Mwinyi Amesema nchi inakwenda kama Gari bovu
Weka nyama basi! Ameyasema hayo akiwa wapi?Rais wa hawamu ya Pili Ali hassan Mwinyi Amesema nchi inakwenda kama Gari bovu
Tatizo gazeti?Soma jambo Leo na Majira na Habari Leo.Hivi nani mmiliki wa Tanzania Daima?
Kuna nukuu ya alichokisema?
Ni Free Media Ltd? Ila na kwenye televisheni nyingi za hapa jana amesikika na kuonekana akisema hayo......wengine watasaidia kukuandikia wamiliki wa hizo televisheni!Hivi nani mmiliki wa Tanzania Daima?
Kuna nukuu ya alichokisema?
Ni Free Media Ltd? Ila na kwenye televisheni nyingi za hapa jana amesikika na kuonekana akisema hayo......wengine watasaidia kukuandikia wamiliki wa hizo televisheni!
Hapana, siwezi mkuu Ngabu, bali kwenye hilo gazeti au clip za news bulletin kwenye hizo tv kama unaweza! Ukweli ni kwamba mzee Mwingi amesema hayo, wala sio kwamba gazeti limemlisha maneno, nimemsikia akisema hivyo!Unaweza kutuwekea nukuu nzima ya alichokisema?
Tafuta gazeti la majira ujisomee acha uvivu au una ugonjwa wa akiri? Mwinyi ameongea ukweli mtupuUnaweza kutuwekea nukuu nzima ya alichokisema?
Duh!! Hebu ngoja nitoke nje nione kama ni kweliNchi yetu inaelekea siko UKABIRA usukuma na Udini Rc zimetawala serikali hii.Mwinyi kajitoa muanga.
Rais wa hawamu ya Pili Ali hassan Mwinyi Amesema nchi inakwenda kama Gari bovu